Magazeti ya Tanzania
Magazeti ya Afrika
Magazeti ya Kimataifa
Radio
TV
Boti moja imetaka kuzama katika ziwa Victoria na hekaheka za uokoaji ziliendelea mpaka wakati tunaondoka kwa bahati mbaya wahanga wa ajali hiyo hatukuweza kuwapata kutokana na kupelekwa eneo tofauti na eneo tulipokuwa tukipata picha za tukio. (eneo husika la ajali ni lilelile ilipozama MV Bukoba)
Magazeti ya Afrika
Magazeti ya Kimataifa
Radio
TV
TAAZIA
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MSANII WETU MAARUFU SALEH KITWIMA ALMAARUF MTUNGI
INNALILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUN, ALLAHUMA GHFIRAHU WARHAMHU WAMASKANAHA FIL JANNA.
Boti moja imetaka kuzama katika ziwa Victoria na hekaheka za uokoaji ziliendelea mpaka wakati tunaondoka kwa bahati mbaya wahanga wa ajali hiyo hatukuweza kuwapata kutokana na kupelekwa eneo tofauti na eneo tulipokuwa tukipata picha za tukio. (eneo husika la ajali ni lilelile ilipozama MV Bukoba)
| Mtumbwi wa wavuvi waliojitolea kufanya kazi ya kuwatoa watu kwenye boti iliyozidiwa mawimbi na kutaka kuzama |
| Tazama hali halisi ilivyokuwa |

No comments:
Post a Comment